Thursday, June 10, 2010

Mshabiki Aachiwa Kwa Dhamana....



Kijana Nageri Ally, akiwa na Uso wa furaha baada ya kuachiwa kwa dhamana katika kitua cha Police Centre.. Hata Hivyo Mkuu wa jeshi la Police kanda ya Dae es Salam.. Suleiman Kova alisema Shauri hilo wamewachia TFF kwa ajili ya maamuzi.. Baba yake shabiki huyo Ndugu Ally Kombo.. Mtoto wake ni shujaa kwasababu ametimiza ndoto yake ya kumkumbatia Kaka.

No comments:

Post a Comment