Friday, June 11, 2010

Zanzibar ya Enzi zile.


Jumba la sultani enzi zile!

Reli iliyokuwa zanzibar mwazoni mwa miaka ya 1900, na hapa ipo kwenye kituo chake cha Bububu

Haya yalikuwa ni mashindano ya bodi kwa kupiga makasia, nafikiri wazungu walituiga mashindano haya.
href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsvcU0MrKyHBtfw3aqdFxRFStW_JShj-9HpEWLfe2ntvYeRi4iVADqMgzAzzm00otO6SCVJNbz0tCJCcPaj1PGmcbSXiak-j5-OpKmua1YV6IBAZ5TpXatuxiywhB37x7YNaDhaycB2sH-/s1600/dance.jpg">
Burudani nao haikuwa nyuma, wananchi wakifurahia ngoma zao za asili, hapa hatumwi mtoto dukani



Wahindi nao walikuwa nanabeba mtungi ya maji, sijuwi kina golo walikuwa hawapo!

href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiJgP7emPRvuJgFAsjJju9cntpbXPm5OUL6f4xQm6sBxu10AxBrbHkQdodlu7MgDF8VcN69ymwfkBPvoX3SDzMdsJflOAo3WLSZT3kcSFePAbZ8gd0aYoenCfSh1yiOyGnJkVnSOVwzTaiu/s1600/darajani.jpg">

Hapa ni Darajani.. Na hili ndio daraja lenyewe lilifonya hili eneo likaitwa Darajani

No comments:

Post a Comment